Simba na Yanga acheni kutumika vibaya, kuibeba CCM, sasa hii "Watoto wa Mama" ya nini?

Sheria za FIFA zinakataza kufanya siasa kwenye michezo.
Mimi binafsi sipotezi muda wangu kwenye kushabikia mpira wa Tanzania na Africa.
 
Shida ilianzia hapo ndio maana kila mmoja anaona alidai uhuru kutoka kwa mabeberu
Hahaha.................hapo hapo tunaambiwa Vyama vya TAA na ASP baadaye TANU ndivyo vilivyodai Uhuru.

Huku tena tunaambiwa Vilabu vya Simba na Yanga vilitumika kudai Uhuru

Baadaye tena wanajitokeza Wazee wa DSM wakisema wao ndiyo walidai Uhuru 🙌
 
Mmezuiwa kuzitumia?
Kulalama ndio mnachoweza
 
Wapeleke hizo hela huko vijijini wakawaboreshee maisha, huko ndiko wana wapiga kura kuliko kufanya hivi
Hizo ni personal issues wala haihusiani na club kama na wewe unahitaji kufanya hivyo endelea tu ni mapenzi yako bwana.
 
😂😂 tutafika tumechoka sana
 
Ulitaka mama ajiweke karibu na Matejoo Rangers au Karatu United?
 
UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AUTOMATICALY AKILI ZA KICHWANI ZINAANZA KUYEYUKA.

CAPO.
 
Huu ni usengerema kabisa kwa vilabu hivi vya Kariakoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…