Four-Star General
Member
- Nov 18, 2022
- 41
- 115
Naunga mkono hojaWote wataishia kutolewa katika hatua ya makundi.
Sioni timu yoyote ya Tanzania iliyovizuri katika michuano ya kimataifa.
Kwahyo nawaomba mpunguze matarajio makubwa vichwani vyenu
Sawa SawaNakazia
SawaWote wataishia kutolewa katika hatua ya makundi.
Sioni timu yoyote ya Tanzania iliyovizuri katika michuano ya kimataifa.
Kwahyo nawaomba mpunguze matarajio makubwa vichwani vyenu
Habari [emoji112]
Naitwa Erry Mars kama hutojali naomba Support yako [emoji120],Mi ni msimuliaji wa Historia ,Makala na Simulizi pia na post Highlights za Mechi mbalimbali Nikikua naomba unisaidie ku SUBSCRIBE na kugusa KENGELE [emoji120] kwenye channeli yangu[emoji3064]
Link Gusa[emoji116]
Tatizo lenu hata mkija kua na followers wengi mtakuja kufungia tu na YouTube mkiwa reported, yaani hamtengenezi content wenyewe!!Habari [emoji112]
Naitwa Erry Mars kama hutojali naomba Support yako [emoji120],Mi ni msimuliaji wa Historia ,Makala na Simulizi pia na post Highlights za Mechi mbalimbali Nikikua naomba unisaidie ku SUBSCRIBE na kugusa KENGELE [emoji120] kwenye channeli yangu[emoji3064]
Link Gusa[emoji116]
weweHabari [emoji112]
Naitwa Erry Mars kama hutojali naomba Support yako [emoji120],Mi ni msimuliaji wa Historia ,Makala na Simulizi pia na post Highlights za Mechi mbalimbali Nikikua naomba unisaidie ku SUBSCRIBE na kugusa KENGELE [emoji120] kwenye channeli yangu[emoji3064]
Link Gusa[emoji116]
Asante sana
Acha ufala boya ww, ukipost mara moja inatoshaHabari [emoji112]
Naitwa Erry Mars kama hutojali naomba Support yako [emoji120],Mi ni msimuliaji wa Historia ,Makala na Simulizi pia na post Highlights za Mechi mbalimbali Nikikua naomba unisaidie ku SUBSCRIBE na kugusa KENGELE [emoji120] kwenye channeli yangu[emoji3064]
Link Gusa[emoji116]
Asante sana
Ishu sio uzoefu ishu wachezaji wa maana wapo? Simba ya miquissone, chama, bocco, kagere wakiwa kwenye ubora wao sio hii ya kibu dennisSimba itawashangaza wengi.. sahiv wanauzoefu wa kutosha na haya mashindano nawapa nafasi kubwa ya kusonga mbele
Una uhakika kibu yupo first eleven?Ishu sio uzoefu ishu wachezaji wa maana wapo? Simba ya miquissone, chama, bocco, kagere wakiwa kwenye ubora wao sio hii ya kibu dennis
Leta iyo forst eleven alafu tuilinganishe na ile simba iliyompiga al ahly kwa mkapaUna uhakika kibu yupo first eleven?
Timu zote mbili zina wachezaji na mabenchi ya ufundi ya kawaida sana. Hamasa pekee ndiyo siri ya mafanikio kwao.Kwa yanga upo sahihi ila Mnyama lazima aende robo
Wanazidi kutushangazaSimba itawashangaza wengi.. sahiv wanauzoefu wa kutosha na haya mashindano nawapa nafasi kubwa ya kusonga mbele
Wanazidi kutushangaza