Simba na Yanga jengeni viwanja vyenu, mnatia aibu sababu wote mnatumia uwanja mmoja

akili za viongozi wa vilabu hivyo ni ndogo hawaoni umuhimu wa kujenga viwanja vyao. Kiongozi unatakiwa kuwa na ubunifu na maono
 
Tatizo siyo uwanja ila ni kuto fuata kanuni tulizo jiwekea wenyewe kumbe wanasiasa Ndiyo wanaikwamisha TFF cha ajabu jamii imekaa kimyaa,

TFF kwasasa inajiendesha bila kufuata kanuni, imeamua kuendeshwa kisiasa kwa maneno mengine wapo kama sanamu, (figure heads), kuthibitisha hilo wanaweza kutoa maamuzi mengi ambayo ni kinzani kwa siku hiyo hiyo na kwa tukio hilo hilo ama kwa jambo lile lie na waka kaa pale wakijitekenya kama vile siyo wenyewe, duu sina neno zuri la kuwaelezea
 
Kuna waliochangisha ela za kujenga uwanja wakaishia kujenga ukuta pale Bunju.
 
Mkuu sina hakika kama unaufahamu sahihi kwanini hili sakata limetokea

Issue sio umiliki wa kiwanja
 
Mkuu sina hakika kama unaufahamu sahihi kwanini hili sakata limetokea

Issue sio umiliki wa kiwanja
Unajua maana IEEE.
IEEE ni umoja wa vifaa na mifumo yote tunayotumia leo unaweza kutembea popote au kununua kifaa chochote bila kuathiliwa au kuona utofauti.
Sababu ya kuwekwa ili ni kwamba kila kitu kiwe sheria moja.

Unapokuwa na klabu kubwa kama hizi hazina uwanja yani kama umeshindwa kutafakari wakati wewe ni mpenzi wa lighi za ulaya au uwezi kujifunza maana ya clubs kuwa na uwanja wake.
 
Mkuu kwamba solution ya sakata kama lililoikuta Simba na kupeleka mechi kuhairishwa ni timu kumiliki viwanja?..... kivipi?

Usichanganye madesa mkuu
Kumiliki kiwanja ni jambo zuri sana lakini sakata hili halijasababishwa na umiliki wa kiwanja.... Ni KANUNI
 
Mkuu kwamba solution ya sakata kama lililoikuta Simba na kupeleka mechi kuhairishwa ni timu kumiliki viwanja?..... kivipi?

Usichanganye madesa mkuu
Kumiliki kiwanja ni jambo zuri sana lakini sakata hili halijasababishwa na umiliki wa kiwanja
Unacho shindwa kuelewa ni kwamba yanga angefanya mazoezi kwenye uwanja wake na simba pia .wangefika kwa mkapa ni kwa ajili ya mechi tu.

Hivi mbwa na paka kama unataka uwafanyishe mapigano kabla ya pambano utawaweka sehemu mmoja kabla ya pambano.
 
Unacho shindwa kuelewa ni kwamba yanga angefanya mazoezi kwenye uwanja wake na simba pia .wangefika kwa mkapa ni kwa ajili ya mechi tu.

Hivi mbwa na paka kama unataka uwafanyishe mapigano kabla ya pambano utawaweka sehemu mmoja kabla ya pambano.
Mkuu kumbe hujui hata KANUNI iliyozua sakata hili

Hata kama game ingekua inapigwa uwanja wa Jangwani kanuni inataka timu ya ugenini kwenda kufanya mazoezi kwenye uwanja wa mechi siku moja kabla..... issue iko hapa

Kama ni mgeni wa game hizi ni kwamba makomandoo wa Yanga walifanya juu chini Simba isiingie kwa mkapa kwasababu tu wanaamini itaweka uchawi wao baada ya mazoezi
 
Kanuni Gani wewe simba kakimbia mechi baada ya kuona atapokea kipondo Cha 5 sisi sio mazuzu danganya mazuzu wenzio
 
Sasa kama MTU kwa mkapa hapewi Ruhusa wakiwa na viwanja vyao si ndo Itakua balaa?

Itabidi siku Moja kabla Yanga ama Simba wakafanye mazoezi uwanja wa mpinzani.
 
Sasa kama MTU kwa mkapa hapewi Ruhusa wakiwa na viwanja vyao si ndo Itakua balaa?

Itabidi siku Moja kabla Yanga ama Simba wakafanye mazoezi uwanja wa mpinzani.
Hapa ugonvi ni mazoezi na ushirikina
 
serikali ndo haitaki wajenge kwani hawatopata maokoto ya viingilio[emoji855]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…