Simba na Yanga ndio burudani pekee tuliyobaki nayo

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411
Kushabikia hizi timu kuna raha sana hasa mtani wako akifungwa furaha inazidi kua maradufu. Juzi Simba walikua wanalia leo wanacheka huku Yanga wakilia na si ajabu leo jioni Yanga wakacheka tena. Ni kupokezana kijiti
Your browser is not able to display this video.
 
Trend ya kupokezana kulia na kucheka ilianza siku ya derby hadi leo.
 
Sehemu pekee hakuna kesi za uchochezi kwa watu. Sehemu pekee hutaonekana huungi mkono juhudi za kuzamisha jahazi.
Kushabikia hizi timu kuna raha sana hasa mtani wako akifungwa furaha inazidi kua maradufu. Juzi Simba walikua wanalia leo wanacheka huku Yanga wakilia na si ajabu leo jioni Yanga wakacheka tena. Ni kupokezana kijiti
View attachment 1324824
 
Sehemu pekee hakuna kesi za uchochezi kwa watu. Sehemu pekee hutaonekana huungi mkono juhudi za kuzamisha jahazi.
Kabisa upo mbali kabisa na kesi ya kutakatisha pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…