Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mipango ya serikali ni dhaifu wanapaswa kuamka zaidi hasa kwenye viwanja ,shule za michezo,n.kSoka linakua kwa Kasi Tz,afu raia wanapenda soka balaaa.....mpaka vijijini huko na rea walivyowasha! Sema serikali Haina mipango makini, wafungue Academy kubwaa Kada ya Ziwa mijamaa mirefu sana Kule na Mbeya.....Arusha sema bangi Kule atawaache.