Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Naona jiji la Mbeya hatimaye limefunikwa na timu za kariakoo.
Yanga ambao tayar wapo jijin hapa mapema zaidi wakipekowa na mkuu wa mkoa ambaye anajinasibu kuwa ni mwananchi wa Jangwani.
Simba nao tayar wameingia jijini leo hii.
Yanga wakienda kukipiga na mbeya city jumamosi huku wakikabidhiwa ubingwa wao wa NBC waliojihakikishia wiki kadhaa nyuma baada ya kumfunga Coast union.
Mgeni rasmi anaweza kuwa mmoja wa mawaziri , CEO wa NBC atakuwepo pia na maafisa waandamizi wa benki hiyo.
Simba wao watakuwa na Prison siku ya jumapili wakikamilisha tu michezo ya ligi iliyobakia.
Mashabiki kutoka mikoa jirani wameanza kumiminika jijini hapa.
Changamoto za miundombinu ni nyingi sana, lakin haizuii watu kuwa na shangwe.
Tunawatakua michezo salama kwa timu zote. Bila shaka usalama utakuwa wakutosha ili mashabiki wasikumbee na maswahiba yasiyofaa.
Huku hakuna restriction kama za kule Qatar world cup. Ni wewe tu. Ila wajue huku maambukizi bado ni makubwa.
Yanga ambao tayar wapo jijin hapa mapema zaidi wakipekowa na mkuu wa mkoa ambaye anajinasibu kuwa ni mwananchi wa Jangwani.
Simba nao tayar wameingia jijini leo hii.
Yanga wakienda kukipiga na mbeya city jumamosi huku wakikabidhiwa ubingwa wao wa NBC waliojihakikishia wiki kadhaa nyuma baada ya kumfunga Coast union.
Mgeni rasmi anaweza kuwa mmoja wa mawaziri , CEO wa NBC atakuwepo pia na maafisa waandamizi wa benki hiyo.
Simba wao watakuwa na Prison siku ya jumapili wakikamilisha tu michezo ya ligi iliyobakia.
Mashabiki kutoka mikoa jirani wameanza kumiminika jijini hapa.
Changamoto za miundombinu ni nyingi sana, lakin haizuii watu kuwa na shangwe.
Tunawatakua michezo salama kwa timu zote. Bila shaka usalama utakuwa wakutosha ili mashabiki wasikumbee na maswahiba yasiyofaa.
Huku hakuna restriction kama za kule Qatar world cup. Ni wewe tu. Ila wajue huku maambukizi bado ni makubwa.