kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Mashindano na sherehe za mapinduzi cup yamedoda kutokana na Simba na Yanga kutolewa kwenye hatua za awali za mashindano. Wanasiasa, wanamichezo, wadhamini na wazanzibar wote hawakutendewa haki na Simba na Yanga kupeleka timu dhaifu kwenye mashindano.
Shamrashamra hazitauwepo kamà nusu fainali na fainali hakuna Simba na Yanga, Simba au Yanga.
Viongozi wa hivi vilabu vya Simba na Yanga wahojiwe na wapewe adhabu kwa kuyadharau mashindano.
Shamrashamra hazitauwepo kamà nusu fainali na fainali hakuna Simba na Yanga, Simba au Yanga.
Viongozi wa hivi vilabu vya Simba na Yanga wahojiwe na wapewe adhabu kwa kuyadharau mashindano.