Simba na Yanga zang’ara kwenye Tuzo za CAF, Zawania Klabu Bora ya Mwaka 2024

Simba na Yanga zang’ara kwenye Tuzo za CAF, Zawania Klabu Bora ya Mwaka 2024

Simba hii hii ambayo ndio kwanza inajenga timu?

Mwaka 2024 au 2023 ilikuwa na ubora gani?
 
Mynyama anatisha sana...
Anaweza kukuuma na usisikie maumivu, na ukafa huku ukijiona upo hai...!!

#Ssc4Life
 
Wakuu vilabu vyetu vinaubonda mwingi Afrika!.

Klabu za soka za Simba na Yanga za Tanzania, zimetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha ya klabu 10 zinazowania tuzo ya Klabu Bora mwaka 2024 kwa upande wa wanaume

Klabu hizi zimekuwa na mafanikio makubwa katika mashindano ya kimataifa na ndani ya nchi, zikionyesha ubora wao katika soka la Afrika.
Club of the Year (Men) - Nominees

Petro Luanda 🇦🇴
TP Mazembe 🇨🇩
Al Ahly 🇪🇬
Zamalek 🇪🇬
Dreams FC 🇬🇭
RS Berkane 🇲🇦
Mamelodi Sundowns 🇿🇦
Simba SC 🇹🇿
Yanga SC 🇹🇿
Esperance de Tunis 🇲🇦

Tuchambue hapa bila unazi nani atafika mbali kwenye Tuzo hizi?
Simba sasa kafanya nn
 
Ni stahiki ya Yanga kwani imetoka matopeni na sasa ghafla inaketi na wakuu
Kwangu mimi siwezi kuiita hiyo ni timu bora.Ili iwe bora iwe na consistency ya misimu kadhaa huko CAFCL na CAFCC.

Mambo ya kuwa kama Leicester unawika ghafla mwaka mmoja halafu misimu 2 mbele unapoteana unaanzaje kuitwa Klabu Bora?
 
Sasa hapa ilipaswa sisi wote yanga na simba tukae meza moja tujipongeze kwanza..tuache ushabiki najua hakuna mmoja wetu atashinda ila kitendo cha kuingia 10 bora tugonganishe glass!!
 
Ni stahiki ya Yanga kwani imetoka matopeni na sasa ghafla inaketi na wakuu
Itoke matopeni kivipi kwani mashindano ya CAF yameanza lini?, hiyo miaka yote mlikuwa wapi ? au mlikuwa hamruhusiwi kushiriki
 
Wakuu vilabu vyetu vinaubonda mwingi Afrika!.

Klabu za soka za Simba na Yanga za Tanzania, zimetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha ya klabu 10 zinazowania tuzo ya Klabu Bora mwaka 2024 kwa upande wa wanaume

Klabu hizi zimekuwa na mafanikio makubwa katika mashindano ya kimataifa na ndani ya nchi, zikionyesha ubora wao katika soka la Afrika.
Club of the Year (Men) - Nominees

Petro Luanda 🇦🇴
TP Mazembe 🇨🇩
Al Ahly 🇪🇬
Zamalek 🇪🇬
Dreams FC 🇬🇭
RS Berkane 🇲🇦
Mamelodi Sundowns 🇿🇦
Simba SC 🇹🇿
Yanga SC 🇹🇿
Esperance de Tunis 🇲🇦

Tuchambue hapa bila unazi nani atafika mbali kwenye Tuzo hizi?
CAF hapo kwa simba wamefanya kama ku balance vile...ila kwenye 5 bora hatokuwepo,Yanga atafika mpk 3 bora
 
Wakuu vilabu vyetu vinaubonda mwingi Afrika!.

Klabu za soka za Simba na Yanga za Tanzania, zimetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha ya klabu 10 zinazowania tuzo ya Klabu Bora mwaka 2024 kwa upande wa wanaume

Klabu hizi zimekuwa na mafanikio makubwa katika mashindano ya kimataifa na ndani ya nchi, zikionyesha ubora wao katika soka la Afrika.
Club of the Year (Men) - Nominees

Petro Luanda 🇦🇴
TP Mazembe 🇨🇩
Al Ahly 🇪🇬
Zamalek 🇪🇬
Dreams FC 🇬🇭
RS Berkane 🇲🇦
Mamelodi Sundowns 🇿🇦
Simba SC 🇹🇿
Yanga SC 🇹🇿
Esperance de Tunis 🇲🇦

Tuchambue hapa bila unazi nani atafika mbali kwenye Tuzo hizi?
Kuna timu hapo imewekwa tu kupunguza hasira za wazee wasiitishe press, but kiuhalisia aikustahili kuwepo hapo🤣🤣
 
Kuna timu hapo imewekwa tu kupunguza hasira za wazee wasiitishe press, but kiuhalisia aikustahili kuwepo hapo[emoji1787][emoji1787]
Mkuu , ukizeeka utakuja kuwa mchawi . Maana siyo kwa wivu huu.
 
Hapo anabeba Zamalek, simba na yanga zilishia robo zibebe nn!
 
Back
Top Bottom