Simba na Yanga zifutwe

Simba na Yanga zifutwe

Unapochambua jambo chezesha akili kidogo usicheze kope. uwanja wa azam wameupata vipi? nambie ni uwanja wa nani?

azam wamejenga uwanja kwa kuwa MMILIKI ANA PESA ANGEWEZA KUJENGA HATA HOTEL AU AIRPORT AKITAKA.

Tunataka azam wafanye mambo kutokana na pesa wanazopata kunyakua vikombe, kushiriki makombe ya ndani na nje. hizi habari za azam imejenga uwanja mapema..... hebu nambie hizi simba na yanga zinafaidika na pesa gani kutokana na ligi pasipo wafadhiri? mshindi wa ligi anapata tsh ngapi?

Gharama za team kwa mwka tsh ngapi? mishahara n.k haya ndo mambo ya maana ya kujiuliza na si kuja hapa unahema kuwa azam wana kiwanja.
 
Hizi timu ziko kiu shabiki tu na si ki-maendeleo,tupate timu zenye muelekeo wa mfano mzuri ni Tp Mazembe au kwa hapa tz Azam,bila ya hivyo tutasubiri sana...wataishia kuuza na kumaliza viwango wachezaji wetu
Hivi Bakhresa akiitema Azam ina weza kujiendesha? Hiyo timu haimlipi mmiliki bali ni liability. Azam bado sana
 
Back
Top Bottom