Simba na Yanga zinaendeshwaje?

Simba na Yanga zinaendeshwaje?

😂Si tuona kimataifa Nini...unaweza ukawa na liwanja likubwa Kama la Tottenham ila hamna kazi
Unaifanaisha Tottenham na Simba/Yanga ? Haupo serios kabsa Tottenham wamewahi kufika fainali ya Uefa je Simba na yanga wamewah kufika fainali ya Cafcl ? Na pia Tottenham sio Giant huko England ni ipo level sawa na Kama Singida united tu kwa huku Tz.
 
Mlishaambiwa hizi timu zilianzishwa kwa mina ajil ya siasa kama we una plan zako za maendeleo anzisha yako 😂😂😂

Kama huwezi kuanzisha timu yako basi waige MO na GSM, njo tuendelee kula mchuzi nyama ziko chini 😂😂😂
 
Ifikie wakati hivi vilabu viachwe kutumika kama madaraja ya watu wachache kujinufaisha kisiasa na pia kiuchumi.

Viongozi wa hivi vilabu wanatakiwa wajikite pia kwenye kutekeleza ahadi zao za kuimarisha miundombinu ikiwemo ya viwanja, hosteli za wachezaji, nk. na siyo kwenye vikombe tu.
Siku hersi akijikita kwenye kuhakikisha yanga inakuwa na miundo mbinu yake ya viwanja na hosteli za kisasa ndio ambayo nitamuona yupo serious na maendeleo ya yanga.

Nilishangazwa kuskia eti anaomba aongezewe eneo ili ajenge uwanja ilhali timu viwanja vya mazoezi tu! inakodisha

Yaani anataka kujenga uwanja wa watu elfu thelathini wakati timu hata uwanja wa mazoezi haina! Binafsi naona kama anaruka steps na hili lilifanya nimuweke kwenye wapiga porojo km walivyokuwa wakina madega na nchunga wenyeviti wa zamani wa yanga ambao nao walikuwa na ahadi hizi hizi za viwanja na hawakufanikiwa.

Eneo lipo tayari kigamboni ila kila siku siasa tu!

Na siku kampuni ya gsm ikipata changamoto za kiuchumi yanga itarudi kule kule kwenye kuomba omba.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mlishaambiwa hizi timu zilianzishwa kwa mina ajil ya siasa kama we una plan zako za maendeleo anzisha yako [emoji23][emoji23][emoji23]

Kama huwezi kuanzisha timu yako basi waige MO na GSM, njo tuendelee kula mchuzi nyama ziko chini [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa sankara
 
Siku hersi akijikita kwenye kuhakikisha yanga inakuwa na miundo mbinu yake ya viwanja na hosteli za kisasa ndio ambayo nitamuona yupo serious na maendeleo ya yanga.

Nilishangazwa kuskia eti anaomba aongezewe eneo ili ajenge uwanja ilhali timu viwanja vya mazoezi tu! inakodisha

Yaani anataka kujenga uwanja wa watu elfu thelathini wakati timu hata uwanja wa mazoezi haina! Binafsi naona kama anaruka steps na hili lilifanya nimuweke kwenye wapiga porojo km walivyokuwa wakina madega na nchunga wenyeviti wa zamani wa yanga ambao nao walikuwa na ahadi hizi hizi za viwanja na hawakufanikiwa.

Eneo lipo tayari kigamboni ila kila siku siasa tu!

Na siku kampuni ya gsm ikipata changamoto za kiuchumi yanga itarudi kule kule kwenye kuomba omba.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Bila mipango ya wazi itakayokuwa kuwa documented na kila raisi akaifata, viongozi wakapimwa kwa utekelezaji wa mipango hiyo na sio ahadi zao, mambo yatakuwa ya hatua mbili mbele tatu nyuma
 
Back
Top Bottom