Simba nafasi ya pili ni yenu, wala msiwe na pressure

Simba nafasi ya pili ni yenu, wala msiwe na pressure

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Urafiki wa Azam na Simba ni mkubwa kuzidi watu wanavyodhani.

Azam yupo tayari ajidhuru ili Simba anufaike. Azam atajipigisha mechi 1 hususan huko Geita na huku mashoga wao Simba wakishinda na kutwaa kombe la nafasi ya pili na kufanya parade kubwa huko jiji la Bunju.

Azam hawezi kumzibia Simba kushika nafasi ya pili. Simba asipochukua kombe la mshindi wa pili, wanasimba wote nitawapatia hela ya bia mbili kila mmoja
 
Lazima simba itabebwa. Ili iende kimataifa. Si unajua mwaka huu na mwakani ni mwaka wa uchaguzi. Timu za simba na yanga huwa zinatumika mno kisiasa kwa sababu zina mamilioni ya mashabiki.


Tumia Akili!
Jiongeze!
 
Lazima simba itabebwa. Ili iende kimataifa. Si unajua mwaka huu na mwakani ni mwaka wa uchaguzi. Timu za simba na yanga huwa zinatumika mno kisiasa kwa sababu zina mamilioni ya mashabiki.


Tumia Akili!
Jiongeze!
Sijaelewa kwa hio mtu atachagua CCM sababu Simba inacheza CAF champions League au wanasimba wengi ni CCM?
 
Binafsi natamani Mtani wetu naye ashiriki klabu bigwa halafu tuone nani mkali
 
Back
Top Bottom