Simba naona wanatafuta gap la ku-escape mechi ya kesho

Mkuu nisaidie kisheria na wala sio kiushabiki,wakiyaondoa hayo mabango ni hatua zipi zinazoweza kuchukuliwa kwa timu husika-kama endapo timu zilishirikishwa kwenye mchakato wa udhamini huu wa GSM?,Nimetumia neno "kama".
Hakuna timu iliyoshirikishwa, Tff wenyewe walisema hakuna mtu kuhoji mkataba huo unawahusu wao na Gsm

Kwanini kwenye hii game wafosi
 
Hakuna timu iliyoshirikishwa, Tff wenyewe walisema hakuna mtu kuhoji mkataba huo unawahusu wao na Gsm

Kwanini kwenye hii game wafosi
Una ushahidi unaoonyesha kama mikataba mingine waliyosain TFF kuna timu zilishirikishwa! Je umeisoma katiba ya TFF na kuielewa kama kana kipengele kinachosema "TFF wakisain mikataba na wadhamini lazima washirikishe vilabu!
 
Kilichopo ni Simba inawazingua tu ili kuonyesha ukubwa hili li timu lilivyo lidude likuuubwa sana.
 
Una ushahidi unaoonyesha kama mikataba mingine waliyosain TFF kuna timu zilishirikishwa! Je umeisoma katiba ya TFF na kuielewa kama kana kipengele kinachosema "TFF wakisain mikataba na wadhamini lazima washirikishe vilabu!
Unadhani kuna club ina cheza ligi bila kujua Mdhamini kapatikanaje na club itapata vipi manufaa!!!..Ujinga ni Mzigo wakati mwengine
 
Una ushahidi unaoonyesha kama mikataba mingine waliyosain TFF kuna timu zilishirikishwa! Je umeisoma katiba ya TFF na kuielewa kama kana kipengele kinachosema "TFF wakisain mikataba na wadhamini lazima washirikishe vilabu!
Tunazungumzia mkataba wa Gsm na Tff we guruguja, hiyo mingine hakuana aliyelalamika itakua walishirikishwa,.

Ushahidi wa huu mkataba upo, Tff walisema huu mkataba unawahusu wao na Gsm.. Unataka ushahidi gani?
 
Wewe mikataba inayosainiwa na serikali yako kama RAIA mwema umewah kuhoji kuhusu ushirikishwaji wako!
Vilabu vyote lazima vishiriki utaendelea kukataa kwasababu hujui na wakati mwengine usikubali ujinga wako ukaonekana namna hii
 
GSM Ni lidude likubwa,ukilikataa kwenye press basi utalikuta kwenye mabango ya uwanjani.

"Unasusa susaa..unatishia kususa..susa" on HM voice.[emoji23]
 
Una ushahidi unaoonyesha kama mikataba mingine waliyosain TFF kuna timu zilishirikishwa! Je umeisoma katiba ya TFF na kuielewa kama kana kipengele kinachosema "TFF wakisain mikataba na wadhamini lazima washirikishe vilabu!
Kama una ushahidi wowote wa kikatiba weka hapa,, nje ya hapo unakua unaleta mipasho.
 
Turudi nyuma kidogo, MABANGO YA KCB hayaljwepo uwanjani kwa msimu uliopita??
 
Sheria gani inatamka mkataba wa TFF na Mdhamini wa Ligi ni lazima timu zishirikishwe? Nachojua mimi ni kwamba Timu hujulishwa tu kuwa mdhamini amepatikana na kiasi alichotoa basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…