ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Hawa mashabiki na viongozi ndo Huwa wanalalama eti Yanga anakuwa bingwa Kwa kuzifunga timu kwenye ligi Kwa sababu zinadhaminiwa na GSM
Sasa wao kila mechi kipigo
Wao watwambie kama GSM ashaanza kuwadhamini
Tengenezeni timu
Acha kulia
Leo mnalia refa
Mara kipa Camara kauza mechi
Zile 5 mlisema manura kapewa bahasha
Mara mangungu out
Mara mvua ilinyesha
Simba tengenezeni timu
Kubali mchakato
Mkileta visababu tutawapigia miaka 10 mfululizo
Sasa wao kila mechi kipigo
Wao watwambie kama GSM ashaanza kuwadhamini
Tengenezeni timu
Acha kulia
Leo mnalia refa
Mara kipa Camara kauza mechi
Zile 5 mlisema manura kapewa bahasha
Mara mangungu out
Mara mvua ilinyesha
Simba tengenezeni timu
Kubali mchakato
Mkileta visababu tutawapigia miaka 10 mfululizo