Mkuu mimi siyo shabiki wa mipira ila kuna timu ya nyumbani mashujaa naikubali, vipi mpaka hapa itashuka ligi au itabakiUzuri azam ana mechi away kwa geita, na geita wakipigwa wanashuka daraja, wanaweza kukaza labda
Mby na kigoma siyo mbali hata mimi naikubali sanaMkuu mimi siyo shabiki wa mipira ila kuna timu ya nyumbani mashujaa naikubali, vipi mpaka hapa itashuka ligi au itabaki
Napinga vikali sana hii kauli, tuombe tu uzima nimekaa pale [emoji142][emoji23]Mpira una maajabu alafu Azam mechi unayomtegemea ndio uwa anaacha points. Bado haijaisha.
Totally umeandika point mkuuSimba tumalize nafasi ya tatu ili wale matapeli kina Try Again wajiulize kulikoni wajue wao ndio chanzo cha matatizo pale Simba.
Hapana mkuu,Azam akimaliza nafasi ya pili kwenye ligi hata ashinde kombe la CRDB ataenda kwa nafasi ya pili aliyonayo kwenye ligi, Simba na Coastal Union ndo wataenda shirikisho.Hivi kwani Azam ikishinda kombe la CRDB si itabidi ishiriki shirikisho?
Japo najua Azam hawawezi kutoa upinzani kwenye Club Bingwa, ila ngoja tusicheze ili tuwe serious.Nafasi ya pili hiyoo inayeyuka!
Kwa msimamo wa ligi ulivyo Sasa, ndio kusema Ili Simba iwe nafasi ya pili basi mechi yake ijayo na JKT, ifunge bao 10 bila majibu. Wakati huo huo na Azam ishinde kwa bao Moja tu dhidi ya Geita.
Sijui, ila labda kwa Simba hii ya Mgunda na Ahmed Ally, miujiza hii inawezekana.!