rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Mmeanzisha nyie wenyewe kupitia Manara.Mkuu hilo jina la looser cup tumeiga pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeanzisha nyie wenyewe kupitia Manara.Mkuu hilo jina la looser cup tumeiga pia.
Na nyie ndio wamama mliochukua medaliGiant anacheza UMISETA shirikisho yaani mashindano ya akina mama kweli?
Wamejikita kuwekeza kwenye vilabu kama Dodoma jiji,Pama Jiji,Namungo,Prison,Singida Big Tars,Singidq Fontain gate,Timu za Majeshi ili kupata point za BWERERE sasa linapokujq suala la kimataifa yanga ni sawa na PAMBA JIJI.Yanga ni timu ya zamani sana imeanzishwa 1935 lakini hawana historia yoyote ya maana kwenye Cafcl
Topolo ni klabu ya siku nyingi sana almanusura ianzishwe kipindi yesu yupo Duniani..... ila historia pekee waliyonayo ni kufika fainali Cafcc kombe ambalo sisi wana simba tunalitumia kama Warm up tu ya timu yetu.
Katika hizo za Top 10 ipi haijawahi kuchukua kombe la CAF?Timu kubwa Africa zipo top ten, Yako ipo namba ngapi!??😆