Simba ndo giant wa Tanzania kwenye Mashindano ya CAF, msijisahaulishe

Wamejikita kuwekeza kwenye vilabu kama Dodoma jiji,Pama Jiji,Namungo,Prison,Singida Big Tars,Singidq Fontain gate,Timu za Majeshi ili kupata point za BWERERE sasa linapokujq suala la kimataifa yanga ni sawa na PAMBA JIJI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…