Simba nendeni Misri kukamilisha ratiba. Ukuta wa Yericko umegeuka kuwa ukuta wa biskuti, kila mechi bao

Simba nendeni Misri kukamilisha ratiba. Ukuta wa Yericko umegeuka kuwa ukuta wa biskuti, kila mechi bao

Ihefu kawamanueni juzi kati hapa ndiyo mkamfunge Al Ahly!!!

Wewe una shangaa na ilo villareal alimtoa Bayern Munich uku barcelona wakafungwa na Bayern nje ndani
Mpira ni mchezo wawazi hawaarabu waliwapa possion wakawa wanacheza mpira wa kuvizia
 
Ukubwa wa Simba ndo hutengenezwa hapa.

Taratibu hao wapo makundi, taratibu hao wameishia robo fainali zaidi ya mara kadhaa halafu kuingia makundi inakuwa si suala la ajabu tena
Leo raisi wa fifa yupo anaitazama na katamka simba guvu moja.

Taratibu tu...... mdogo mdogo........huku wakikejeliwa na vyura.
 
Ukubwa wa Simba ndo hutengenezwa hapa.

Taratibu hao wapo makundi, taratibu hao wameishia robo fainali zaidi ya mara kadhaa halafu kuingia makundi inakuwa si suala la ajabu tena
Leo raisi wa fifa yupo anaitazama na katamka simba guvu moja.

Taratibu tu...... mdogo mdogo........huku wakikejeliwa na vyura.

Hata Barcelona kule spain wanapigiwa promo kubwa kuliko Real madrid but in reality real madrid ni timu kubwa kuliko Barcelona
Young africa always watakuwa wanawajibu kwa vitendo
Miaka 5 ya ubora wako hujawahi kucheza final ya club bingwa au shirikisho

Young mwaka jana wamecheza mpaka final
Na sio ajabu mwaka huu yanga wanaweza kufika mbali zaidi yenu m[emoji122][emoji119][emoji3577]
 
Hata Barcelona kule spain wanapigiwa promo kubwa kuliko Real madrid but in reality real madrid ni timu kubwa kuliko Barcelona
Young africa always watakuwa wanawajibu kwa vitendo
Miaka 5 ya ubora wako hujawahi kucheza final ya club bingwa au shirikisho

Young mwaka jana wamecheza mpaka final
Na sio ajabu mwaka huu yanga wanaweza kufika mbali zaidi yenu m[emoji122][emoji119][emoji3577]
Mpaka iwe. Hadithi zipo tu.
 
Utawadai na cha kukulipa watakitoa wapi Sasa, mpira wa kisasa unatakiwa uwekeze kwenye benchi Bora la ufundi na wachezaji Bora watakaokupa matokeo popote iwe nyumbani ama ugenini, na sio kuwekeza kwenye mambo ya nje ya uwanja ndio maana mkitoka nje mnakuwa na wakati ngumu sana kwakuwa matunguri yanakuwa yamebaki dar es salaam!
Aahaaaaaa
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Copy aliyokua anatembea nayo Ahly leo ni Copy ya Yanga ya miaka ya 80/90.
Unakua na viungo mafundi wawili na winga mbili zenye kasi ya radi, Simba walikua wakiteseka sana Cha kushangaza Ahly kaja kuitumia 2023 na kama si tunguli angeshinda game.


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hata Barcelona kule spain wanapigiwa promo kubwa kuliko Real madrid but in reality real madrid ni timu kubwa kuliko Barcelona
Young africa always watakuwa wanawajibu kwa vitendo
Miaka 5 ya ubora wako hujawahi kucheza final ya club bingwa au shirikisho

Young mwaka jana wamecheza mpaka final
Na sio ajabu mwaka huu yanga wanaweza kufika mbali zaidi yenu m[emoji122][emoji119][emoji3577]
Uwa nawaambia ukweli timu itakayokuja kuleta heshima ya nchi hii kwenye mechi za kimataifa ni yanga tu, kwa maana wamewekeza kwenye usajili Bora, uongozi Bora na benchi Bora la ufundi, wakati huo wakiwa kwenye right way ya mfumo wao wa mabadiliko ambapo matunda yake yameanza kuonekana, Sasa mwakarobo wao wamewekeza kwenye propaganda uchwara, usajili wao ni vichekesho Kama mlivyosikia msemaji wao anatamba wanavizia kuiba wachezaji airport na iyo ndio timu inayojinasibu kwamba ni timu kubwa ya kushindana kimataifa,
Wamewekeza kwenye ushirikina wakitoka nje ya Tanzania ni vilio kwa maana uchawi aupandi ndege, Wao watuambie ni lini waliwai kupata matokeo kwenye nchi za Kiarabu kwa misimu minne mfululizo ya nyuma? Na watuambie matokeo yao kwenye viwanja vya ugenini ni ya namna Gani? Mpira unachezwa hadharani na yanga keshathibitisha kwamba ni timu Bora inayoweza kukupa matokeo popote iwe nyumbani iwe ugenini aijalishi anacheza na Nani zile habari za kwa mkapa atoki mtu alafu ukitoka nje unakuwa Kama debe tupu zilishapitwa na wakati matokeo yake ata iyo kwa mkapa atoki mtu imeshaferi!
Kila timu kwa sasa itakayokuja kucheza na mwakarobo kwa mkapa itakuja kwa kujiamini wakiamini wanapata goli muda wowote kwakuwa Kuna mapazia pale nyuma,
Tanzania inabaki kuwa na timu moja tu itayoleta heshima nayo ni yanga afrika, Aly ahly watacheza na yanga na usemi Wangu utathibitishwa siku iyo mtaona kitachotokea na timu Bora itakulikana rasmi!
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Gazeti lote hili ni kisa tu roho inakuuma uliomba simba ifungwe lakn ,,,,tulia mcheze lig ya mchangani mashindano makubwa kama hayo mtayaskilizia kweny bomba🤣🤣
 
Nilikuwa nawashangaa sana mashabiki wa hii timu walivyokuwa wanatamba sana mitaani wakijiapiza kumfunga Aly ahly goli za kutosha!

Lakini kwa wale wanaojitambua tulikuwa tunajua madhaifu ya mwakarobo na lilikuwa ni suala la muda tu kuzima tarumbeta zilizokuwa zinapigwa na vijana wa Rage, Baada ya dk 90 wimbo umebadilika umekuwa ule ule wa miaka yote waliyozoea kuuimba wa "TUMEKUFA KIUME"

Tokea nizaliwe sijawai kuliona ilo kombe la Kufa KIUME. Leo Mwakarobo Mganga wao alichowasaidia ni kupunguza idadi ya MAGOLI, kitendo Cha Aly Ahly kukosa zile nafasi 3 za wazi kwa macho ya kawaida unaweza ukadhani ni bahati mbaya lakini Ile ilikuwa ni kazi ya sangoma!

Ahly Ahly ilikuwa wambutue mtu goli 5 Leo but Mganga kaepusha aibu kubwa Leo. Na zile zilizokoswa wangekuwa kwao MISRI zilikuwa ni kamba kwa kuwa siku zote uchawi aupandi ndege ndio maana tulikuwa tunashuhudia sana zile goli tano tano kipindi kile!

Ndani ya mechi 8 ukuta wa yeriko umeruhusu kamba 9 kuchana nyavu zake, ndio maana tunasema safu Bora ya ulinzi itakupa makombe na safu Bora ya ushambuliaji itakupa magoli tu!

Mwakarobo najua mtakuja na mapovu kama yote lakini ayanibabaishi nawapa vidonge vyenu mkipenda mvimeze mkipenda mvitapike, timu yenu Ina shida kubwa kwenye eneo la kiungo mkabaji, uyo Ngoma mliyeenda sijui kumuiba uwanja wa ndege kwa mujibu wa msemaji wenu anaweza kutamba kwenye mechi za wakina JKT Tanzania na sio mechi kubwa za kimataifa, mechi za kimataifa utamuona Kama timu inamiliki mpira lakini Kama timu inapekekewa moto ni sawa na yale mapazia ya buku buku yanoyouzwa mnadani!

Sasa keshokutwa mnakwenda Misri kukamilisha ratiba yenu kwakuwa kule akuna kuvunja Nazi Wala kuchoma uwanja uwezo wenu halisi unakwenda kuonekana mjipange na Ligi kuu na makundi ya klabu bingwa!

MAPOVU YA OMO NA KLEESOFT YANARUHUSIWA KWA WAFUASI WA MBUMBUMBU!
Ukuta biscuit aka chujio aka dodoki.
 
Nilikuwa nawashangaa sana mashabiki wa hii timu walivyokuwa wanatamba sana mitaani wakijiapiza kumfunga Aly ahly goli za kutosha!

Lakini kwa wale wanaojitambua tulikuwa tunajua madhaifu ya mwakarobo na lilikuwa ni suala la muda tu kuzima tarumbeta zilizokuwa zinapigwa na vijana wa Rage, Baada ya dk 90 wimbo umebadilika umekuwa ule ule wa miaka yote waliyozoea kuuimba wa "TUMEKUFA KIUME"

Tokea nizaliwe sijawai kuliona ilo kombe la Kufa KIUME. Leo Mwakarobo Mganga wao alichowasaidia ni kupunguza idadi ya MAGOLI, kitendo Cha Aly Ahly kukosa zile nafasi 3 za wazi kwa macho ya kawaida unaweza ukadhani ni bahati mbaya lakini Ile ilikuwa ni kazi ya sangoma!

Ahly Ahly ilikuwa wambutue mtu goli 5 Leo but Mganga kaepusha aibu kubwa Leo. Na zile zilizokoswa wangekuwa kwao MISRI zilikuwa ni kamba kwa kuwa siku zote uchawi aupandi ndege ndio maana tulikuwa tunashuhudia sana zile goli tano tano kipindi kile!

Ndani ya mechi 8 ukuta wa yeriko umeruhusu kamba 9 kuchana nyavu zake, ndio maana tunasema safu Bora ya ulinzi itakupa makombe na safu Bora ya ushambuliaji itakupa magoli tu!

Mwakarobo najua mtakuja na mapovu kama yote lakini ayanibabaishi nawapa vidonge vyenu mkipenda mvimeze mkipenda mvitapike, timu yenu Ina shida kubwa kwenye eneo la kiungo mkabaji, uyo Ngoma mliyeenda sijui kumuiba uwanja wa ndege kwa mujibu wa msemaji wenu anaweza kutamba kwenye mechi za wakina JKT Tanzania na sio mechi kubwa za kimataifa, mechi za kimataifa utamuona Kama timu inamiliki mpira lakini Kama timu inapekekewa moto ni sawa na yale mapazia ya buku buku yanoyouzwa mnadani!

Sasa keshokutwa mnakwenda Misri kukamilisha ratiba yenu kwakuwa kule akuna kuvunja Nazi Wala kuchoma uwanja uwezo wenu halisi unakwenda kuonekana mjipange na Ligi kuu na makundi ya klabu bingwa!

MAPOVU YA OMO NA KLEESOFT YANARUHUSIWA KWA WAFUASI WA MBUMBUMBU!
amesikika yule striker wao akisema mechi ya marudiano tutnaicheza kwa ajili ya wapalestina...asa sijui itakuwaje
 
Back
Top Bottom