Simba ni kama mfungwa aliyetuhumiwa kifo

wydad 3~ zuwena 7
hivi ndivyo zuwena fc wanaota
 
Simba hii si ndio mliyokua mnaibeza kwamba haiwezi kufika kokote? Leo hii wako robo fainali..
Kwa kweli tunawashukuru sana ndugu zetu wa Vipers. Wale Raja tu ndiyo wana roho mbaya. Sijui kwa sababu ni Waarabi!
 
Ila Simba tunaandamwa sana, kisa hawa utopolo kuongoza kundi la shirikisho, je wangeongoza kundi la klabu bingwa ingekuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…