pakacha77
Member
- Aug 12, 2022
- 91
- 98
Uwezekano wa klabu ya Simba kukutana na moja ya timu zifuatazo yaani Mamelodi Sundowns, Wydad AC, na Esperance ni sawa Tu na mfungwa aliyehukumiwa kifo yaani Death row inmate ambae anasubiri utekelezaji wa hukumu kutoka kwa mamlaka husika na njia ipi ya hukumu yaani Execution methods.
Hivyo basi Simba kama mfungwa aliyetuhumiwa kifo anasubiri kifo tu kilichopo ni njia ipi itatumika kwake (1) Kunyongwa kwa kamba (Judicial hanging) (2) Sindano ya sumu(Lethal injection) (3) Kiti cha umeme( Electric chair) sasa kazi kwake kuomba aina ipi ya kifo anayotaka
NOTE THE FOLLOWING: Wydad AC ( Judicial Hanging),Mamelodi Sundowns ( Electric chair) and Esperance ( Lethal injection)
Hivyo basi Simba kama mfungwa aliyetuhumiwa kifo anasubiri kifo tu kilichopo ni njia ipi itatumika kwake (1) Kunyongwa kwa kamba (Judicial hanging) (2) Sindano ya sumu(Lethal injection) (3) Kiti cha umeme( Electric chair) sasa kazi kwake kuomba aina ipi ya kifo anayotaka
NOTE THE FOLLOWING: Wydad AC ( Judicial Hanging),Mamelodi Sundowns ( Electric chair) and Esperance ( Lethal injection)