Simba ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Yanga ni Bingwa wa Tanzania Bara tu, msijitoe ufahamu

Simba ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Yanga ni Bingwa wa Tanzania Bara tu, msijitoe ufahamu

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.

Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
 
Ongezea Mkuu.
1. SIMBA ANA KOMBE LA MUUNGANO
2.SIMBA ana UBINGWA WA NGAO YA JAMII.

Utopolo sasa;
Ubingwa wa Kupaka Piko Kichwani.
Kudhulumu point 3 za Kagera Sugar.
Kuandika barua za malalamiko CAF.
Kuimbishwa utukufu wa jiessieeeem.
Kununua vyombo vya habari viwasifu.
Kuhonga marefa watoe red card.
Kuwekeza kwenye Uchawi na Majini.
Kuwabania akina Fei na Mayele.
Mambo meusi meusiiiii ndio zao.
 
Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.

Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
Ni moja ya mafanikio yenu msimu huu pamoja na wasap channel kwa maana iyo mangungu na try again msiwapigie kelele Tena ni moja ya viongozi wenye mafanikio sana kuliko wote🤣
 
Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.

Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
Uko sahihi kabisa maana kombe la Muungano linajumuisha nchi mbili tofauti na la ligi ni upande mmoja tu.
 
Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.

Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
simba ni bingwa wa kati ya timu hizi...azam,KVZ na KMKM...YANGA NI BINGWA WA TIMU 15 IKIWEMO SIMBA
 
Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.

Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
Ubingwa wa muungano kwa mechi 2! Huo ni ubingwa wa bonanza la muungano mkuu😀😀
 
Huna hata Adabu wala Aibu

Ligi inayoanzia nusu fainali ni ligi hiyo?

Hata ya Wanawake haianzi hivyo

Kakombe ka siasa
 
Tangu kombe la NBC lianze Simba hajawahi kushinda...
Tulieni dawa yenu inachemka [emoji16]

FA ndani
Ligi kuu ndani

Kolo bado hamjasema siku hiyo mtamuua Mangungu [emoji1787][emoji1787]
 
Aliyewaita mbumbumbu mashabiki wa simba, kweli hakukosea.
 
Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.

Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
N
Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.

Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
Nimejisikia kutapika. Sijui kwa nini nimesoma hapa!
 
Naitafuta furaha ingawa moyoni Nina majonzi nani wakunifuta haya .... . Dah Simba kweli mnatia huruma!. Duniani kote hakuna ligi ya mechi mbili
 
Mangungu akiona hili andiko anatabasam sana. Naam haya ndio mafanikio makubwa simba inayapata kupitia chini ya uongozi wake imara
 
Bonanza limewafanya kushangilia hivi.

Ndio maana tunaitwa Mbumbunbu.
 
Haujaeleweka embu nieleweshe, CAF champions league msimu ujao wawakilishi wanatokea kwa bingwa yupi?
Simba ni Bingwa wa Kombe la Muungano, siyo Jamhuri ya Muungano. Kumbuka, muungano ni maazimisho kama yalivyo maazimisho ya kuuwasha na kuuzima Mwenge.
 
Back
Top Bottom