Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Ni moja ya mafanikio yenu msimu huu pamoja na wasap channel kwa maana iyo mangungu na try again msiwapigie kelele Tena ni moja ya viongozi wenye mafanikio sana kuliko wote🤣Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.
Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
Uko sahihi kabisa maana kombe la Muungano linajumuisha nchi mbili tofauti na la ligi ni upande mmoja tu.Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.
Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
Ilo kombe linawafanya muwakilishe nchi kwenye michuano Gani labda?Uko sahihi kabisa maana kombe la Muungano linajumuisha nchi mbili tofauti na la ligi ni upande mmoja tu.
simba ni bingwa wa kati ya timu hizi...azam,KVZ na KMKM...YANGA NI BINGWA WA TIMU 15 IKIWEMO SIMBASimba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.
Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
Ubingwa wa muungano kwa mechi 2! Huo ni ubingwa wa bonanza la muungano mkuu😀😀Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.
Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
NSimba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.
Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
Nimejisikia kutapika. Sijui kwa nini nimesoma hapa!Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.
Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
Social inferenceSimba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii.
Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
Simba ni Bingwa wa Kombe la Muungano, siyo Jamhuri ya Muungano. Kumbuka, muungano ni maazimisho kama yalivyo maazimisho ya kuuwasha na kuuzima Mwenge.Haujaeleweka embu nieleweshe, CAF champions league msimu ujao wawakilishi wanatokea kwa bingwa yupi?