Simba ni mnyama mla ubuyu tu

gugumaji

Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
25
Reaction score
19
Ukiangalia Yanga unagundua hizi timu zinafanana kila kitu inapokuja mpira wa ndani.

Ila ukisema ni mashindano ya CAF yule Mzee Kapombe anakuwa Under 20 vile anaupiga kama ndio kapandishwa leo toka timu ya Vijana anagombea namba na Kina Mwenda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…