Simba ni rahisi Sana kufungika

Pale unapojifanya mchambuzi uchwara kumbe ni mshabiki wa Yanga kindakindaki,peleke hizo data zako chumbani kwenu
 
Unaposema Hamsa hamsa zitatuhusu Ongezea na Robo fainali itatuhusu
 
Kwasisi ambao hatupepesi Simba amefungwa jumla ya mechi 7 za Ligi kuu na angekuwa ameshatolewa katika Azam cup kichofanyika MO na marefa wanakijua. Ndio maana Yanga wanasema Kama hakuna makondokando Simba hawezi kumfunga Yanga.
Say it again bud
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…