Simba ni team au kikundi cha wastaafu?

Aaahaaa
 
Nimeangalia zaidi ya mara mbili kujua kilichosababisha Inonga alale chini. Nilijua aliguswa labda kulikuwa na faulo, kumbe aisee kalambwa chenga moja matata sana hadi chini.
Magwangala bado anakwambia kitasa hiko..!
 
Sasa kama picha hii ndio inatumika kumdiscredit Inonga wewe utakuwa na matatizo makubwa zaidi ya anayotueleza Manara juu ya washabiki wa utopolo!
Kwahiyo kazi yake uwanjani ilikuwa ipi wewe mstaafu mwenzie?
 
Kwahiyo kazi yake uwanjani ilikuwa ipi wewe mstaafu mwenzie?
Bila shaka wewe bado mtoto wa 2000,hujawahi kumwona Vidick akipigwa chenga na Torres na haikuondoa ubora wake,Van Dyke anapopigwa chenga na Samata inaondoa ubora wake?Huyo Inonga ndiye mchezaji pekee kuwahi kucheza nusu fainali ya AFCON kutoka kwenye ligi yetu,hiyo najua unajivunia hata kama wewe siye JK au Mzee Manara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…