Simba ni 'threat' katika kukuza mpira Tanzania

ingawaje simpendi hata kumuona ila ki ukweli haji 'Manara' ndiye mtanzania aliye ufufua utani wa jadi na ushindani wa soka Tz baada ya kuwa umekufa kwa muda through vijembe, majigambo, madongo na hata matusi yake ya u-simba na u-Yanga. Kwa kweli kwa hili tunapaswa kumpongeza kwa dhati kabisa kwa 'salute' kubwa. nenda Kenya, Uganda, Rwanda uone kama kuna ushindani wa mpira na hasa kwa vilabu vya ndani kama Tz.
 
ivi kwa Akili ya kawaida unaweza kupenya nusu fainal CAF kwa kununua wachezaji waliotemwa AZAM?

MANURA, KAPOMBE, BOCCO , WAWA, NYONI?


BILA KUNUNUA MECHI SIMBA WASINGEKUWA WANAONGOZA LEAGUE NA HILO NIMELIAMINI BAADA YA KUSHINDWA KUMFUNGA YANGA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ivi wewe BOCCO akirudi AZAM atamuweka nani BENCHI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BILA KUNUNUA MECHI SIMBA WASINGEKUWA WANAONGOZA LEAGUE NA HILO NIMELIAMINI BAADA YA KUSHINDWA KUMFUNGA YANGA

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mliwauzia mechi Kagera Sugar wakawafunga goli 3-0 au sio? Kama mnataka kuongoza ligi, kwa nini mnauza mechi badala ya kununua?
 
sio lazima wote tuwe mashabiki wampila jalibu kushabikia vingine labda utafanikiwa ucku kwenye soka kume kushinda
 
Sio kuufufua Bali alipotezwa na jer muro wakat yanga iko katika level zake manara alikuwa Hana jipya kabisa mjin amekuja kuwa juu baada ya moo kuwekeza hapo

kilicho akilini kitumie
 
Mkuu anzisha hata ka-timu ka watu 11 tuone mfano. Mipango ya mdomoni rahisi sana.
 
Uongozi wa JF tunaomba 'chonde chonde' iki cheo cha expert member muwe mnaangalia watu wa kuwapa, Sasa angalia na huyu muanzisha uzi naye pia ni JF expert member kweli? Kwa alichoweka hapa alifaa kuishia 'Member tu'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…