Hiyo hela yanga anaenda kuipata sababu anaenda kuingia nusu fainalHivyo vikombe vya milioni 80 vinathamani gani na pale Simba inapofika robo fainali CAF Champions mfululilo nakupata zaidi ya 1.5 Biliions.
Unajua jamaa ni mjnja sana, yaani hapo amekuachia msala ubaki unabishana na TV 🤣Thamani ya ni nje ya watanzania sio ndani. Misimu 2 yote hawana kombe ya Kigi kuu, shirikisho na hawajui ni lini watapata
Kwa hiyo Tanzania timu ambayo haina Kombe hizo mfululizo ndio inakuwa Timu Bora Tanzania?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna timu fulani mara ya mwisho kuingia makundi Champions league. Ilikuwa ukitoka Dar to Mwanza itabidi uende Kenya kwanza ukatokezee Sirari.
Umeandika nini mkuu??mbona vitu viwili tofuati hapo..kwenye wenye akili hukp kwenu ni 2Thamani ya ni nje ya watanzania sio ndani
Misimu 2 yote hawana kombe ya Kigi kuu, shirikisho na hawajui ni lini watapata
Kwa hiyo Tanzania timu ambayo haina Kombe hizo mfululizo ndio inakuwa Timu Bora Tanzania?
Hiyo ni TBC Taifa, kama ni ugomvi, lianzishe nao, sio sisiThamani ya timu haipimwi kwa upuuz mnaoandika,kuna kazi kubwa sana ya kuwafundisha mbumbumbu