Simba Queens imemsaini kiungo Amina Bilal ambaye msimu uliopita alikuwa akiitumikia JKT Queens

Simba Queens imemsaini kiungo Amina Bilal ambaye msimu uliopita alikuwa akiitumikia JKT Queens

Mributz

Senior Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
177
Reaction score
527
#MICHEZO Timu ya Simba Queens imethibitisha kuinasa saini ya kiungo Amina Bilal ambaye msimu uliopita alikuwa akiitumikia JKT Queens na pia aakipiga mnamo timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars.

Msimu uliopita wa Ligi, Amina alifunga mabao manne na kusaidia kupatikana kwa mengine sita (Assisti).

P

1722261214495.jpg
 
Back
Top Bottom