OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sioni cha kukupinga. MiaMabadiliko makubwa ya soka nchi hii yana mkono wa bakhresa kupitia azamtv na mo kupitia simba.
Leo hii watu ndio wanaona umuhimu wa kucheza makundi, zamani ilikuwa ni michuano poa poa, mo aliona simba kuna uwezekano wa kupiga hela, kaweka hela anapiga hela, sioni kosa katika hilo.
Azam tv kapandisha thamani ya ligi yetu.
Watu huwa wanabisha kwa usimba na uyanga tu.
Hivi hata ukiongea nyumbani kwako mkeo huwa anakulewaga kweli?Simba Wanawake wapo vile wale wanaume hapana tuongee ukweli..wale wa kiume zaidi wanategemea figisu na mpira wa midomoni,na kuzitafuta red card na penati ndio wapate ushindi!
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Tatizo unajitoa ufahamuhela zote mnazopata huwa mnapeleka wapi, simba haina asset jiulize leo kesho mo akiondoka simba inabaki na nini? mabasi yote yale mnakodisha africarriers
Azam aliona gap kubwa, akaona awekeze.Mabadiliko makubwa ya soka nchi hii yana mkono wa bakhresa kupitia azamtv na mo kupitia simba.
Leo hii watu ndio wanaona umuhimu wa kucheza makundi, zamani ilikuwa ni michuano poa poa, mo aliona simba kuna uwezekano wa kupiga hela, kaweka hela anapiga hela, sioni kosa katika hilo.
Azam tv kapandisha thamani ya ligi yetu.
Watu huwa wanabisha kwa usimba na uyanga tu.
Je wale wa Yanga huishi wapi?Pia,
Hao Mabinti wanaishi Maisha duni sana hata kupanga tu hawana uwezo wa kulipa kodi wengi wanaishi kwao au kwenye kambi,
Ngoja tuone mabadiliko msimu huu
Siwajui sana Wachezaji wa Yanga Princess lakini, sidhani kama wana tofauti na wenzao.... Maisha duniJe wale wa Yanga huishi wapi?
100% unampa binadamu mwenzio Mungu anampa ngapi? ukiendelea hivi kuna unachokitafuta na kitakupata.Kuna watu wakiambiwa MO kaisaidia Simba sana wanakataa. Ila haya mafanikio kwa asilimia 100 ni mkono wa MO.
Sisi twaangalia leo na kudai Simba ina thamani zaidi, ila hatuangalii 2016 ambapo hali ilikuwa mbaya au 2013 ambapo tulikuwa wa ajabu ajabu.
🤣🤣🤣🤣🤣Yanga queens kazi yao kuchimba mihogo kwa ajili ya akina Mayele
Hizi hela zitaenda zaidi kurecover gharama mbalimbali ambazo zimeenda kutumika kuijenga timu huku mapato bado ni duni. Nadhani kiwango cha chini cha mishahara yao hakipungui 500,000 na hapo wanapata chakula na malazi bure. Hiyo siyo hela ndogo katika mazingira yetu haya.Siwajui sana Wachezaji wa Yanga Princess lakini, sidhani kama wana tofauti na wenzao.... Maisha duni
Usisahau kuna wadhamini pia! Simba kufikia hapo ataanza kupata wadhamini wa kimataifaJamaa anaangalia faida tu, anasahau wanalipwa mishahara,chakula,usafiri..hako kahela ni nothing kiuendeshaji wa timu.
Bingwa wa historia lakini unaishi na stress kama ngedere anayewindwa.Simba Wanawake wapo vile wale wanaume hapana tuongee ukweli..wale wa kiume zaidi wanategemea figisu na mpira wa midomoni,na kuzitafuta red card na penati ndio wapate ushindi!
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
We unadhani huko utopolo una chako zaidi ya matokeo?hela zote mnazopata huwa mnapeleka wapi, simba haina asset jiulize leo kesho mo akiondoka simba inabaki na nini? mabasi yote yale mnakodisha africarriers
Usije kuwatafuta ukawapangishie nyumba, maana wewe ndio type zako zilePia,
Hao Mabinti wanaishi Maisha duni sana hata kupanga tu hawana uwezo wa kulipa kodi wengi wanaishi kwao au kwenye kambi,
Ngoja tuone mabadiliko msimu huu
Mungu kazi yake ni kutuondolea magonjwa na wabaya wetu.100% unampa binadamu mwenzio Mungu anampa ngapi? ukiendelea hivi kuna unachokitafuta na kitakupata.
Wapo very humble aiseee
Unajua maana ya uwekezaji 49%?hela zote mnazopata huwa mnapeleka wapi, simba haina asset jiulize leo kesho mo akiondoka simba inabaki na nini? mabasi yote yale mnakodisha africarriers