Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Hakika wanastahili sijui zawadi gani lakin uongozi was Simba angalieni lakini iwe fundisho kwa club ya simbamen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalau ka-video clip will doHakika wanastahili sijui zawadi gani lakin uongozi was Simba angalieni lakini iwe fundisho kwa club ya simbamen
Unaumia ukiwa wapi mlongo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angalau ka-video clip will do
Akina Dada wapo vizuri mungu awafungulie njia wafike mbali zaidi afrika na duniaVeru true, hakika Simba Queens wanafuata nyayo za kaka zao si kama wale utopolo......kimataifa wao na dada zao wanasikia redioni tu, wakienda kushiriki na kuwakilisha nchi wanarudi na haibu.
Pambwani hapa mlongo, ila niteseka lepaa..!!Unaumia ukiwa wapi mlongo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeeeeeh mlongooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pambwani hapa mlongo, ila niteseka lepaa..!!
Yule kipa mzuri sana. Simba wamchukue atawasaidia sana.Simba Queens wanajua boli ila kuna wale wadada wa Ethiopia wanaitwa CBE(Commercial bank of Ethiopia)nilicheki mechi yao walicheza na she corparate ya uganda wana balaa wale hatari nimeshukuru kwa kutolewa kwao maana wangekutana Simba Queens sijui ingekuwaje. Halafu kuna ile timu ya South Sudan nimiesahau jina japo walifungwa goli nyingi ila golikipa wake ni mtu na nusu dah mdada anadaka boli yule nztamani simba queens wamsainishe maana pale golini mgunda hayuko vizuri sana
Yanga mwenye kujielewa...Akina Dada wapo vizuri mungu awafungulie njia wafike mbali zaidi afrika na dunia
Sisi wana yanga kwenye ukweli tunaongea ukweli hatupendi kuzodoana kama mwenzio anafanya vizuri mpe moyo mpe pongezi.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
She Corporate wako vzuri hadi Half Time 0-0. Ball Possession Simba 52 She Cop 48Kwenye updates za mechi aweke hapa tafadhali
Simbaqueens wanaongoza kwa bao mojaWakuu matokeo ya fainali ngapi ngapi
hapo sawa mkuu ,wanaendeleaje ,yaani nipo njiani siwezi kuangalia naona hata tbc fm na ufm hawatangazi kwenye redioSimbaqueens wanaongoza kwa bao moja