Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakuaje JKT wakatwe points 5 then Simba Queens wapewe points 3?Mwaka jana tu Juventus walipokwa point 10 kwa udanganyifu wa usajili, sasa sijui unazungumzia FIFA gani
Tena adhabu ya kutotokea uwanjani kwa ligi ya Bara ya wanaume ni kushushwa madaraja mawili. Pointi 3 kwa Simba kwa kuwa mpinzani hajatokea uwanjani, na pointi 5 zinatolewa kama adhabu kwa timu isiyotokea uwanjani (badala ya kushushwa madaraja mawili)Inakuaje JKT wakatwe points 5 then Simba Queens wapewe points 3?
kwanini hawajashushwa kama kanuni zinasema hivyo?Tena adhabu ya kutotokea uwanjani kwa ligi ya Bara ya wanaume ni kushushwa madaraja mawili. Pointi 3 kwa Simba kwa kuwa mpinzani hajatokea uwanjani, na pointi 5 zinatolewa kama adhabu kwa timu isiyotokea uwanjani (badala ya kushushwa madaraja mawili)
Hawapo Ligi ya Bara ya wanaume. Ligi yao ina kanuni hizo walizohukumiwakwanini hawajashushwa kama kanuni zinasema hivyo?