Simba Queens yatinga Fainali kibabe,yaua 5-1

Simba Queens yatinga Fainali kibabe,yaua 5-1

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20220824_205936157671.jpg

Simba Nguvu Moja.

Tunaomba radhi kwa kuruhusu hilo goli 1. Toka mashindano yaanze leo ndio tumeruhusu goli
 
Hakuna mahusiano yoyote ya kufika fainali na kuchukua kikombe. Bahati nzuri mpira wa miguu tafsiri ya ubora wako ni vikombe tu. Ndugu zangu Mbumbumbu fc
Ili mtambulike chukueni ubingwa.
 
Hakuna mahusiano yoyote ya kufika fainali na kuchukua kikombe. Bahati nzuri mpira wa miguu tafsiri ya ubora wako ni vikombe tu. Ndugu zangu Mbumbumbu fc
Ili mtambulike chukueni ubingwa.
Muwalipe posho wadada wa watu....
Sio mnawachezesha wakiwadai mnawatimua.
 
Fainali wanacheza na nani,lini,saa ngapi na uwanja gani,mechi zinaonyeshwa na kituo gani cha Runinga?
 
Back
Top Bottom