Tetesi: Simba S.C haina mpango wa kuongeza mchezaji yeyote

Hizi ni habari zinazotwngenezwa na lile group la wacheza uchi fc makao makuu
 
Uongozi uweke wazi tu kuwa hawana Hela za usajili hizi tantarila zao wakawadanganye wake zao wapumbavu wakubwa hawa.
R.i.p Hans Pop tunakumiss sana kamanda wetu mpambanaji uliyejitoa Kwa jasho na damu kuipigania Simba
Utopolo mkubwa si ujiite chura tu.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Uzuri ni kuwa watu wa Utopoloni huwa mna taarifa kibao za Unyamani.
Vipi Mo hajapata mteja wa kumuuzia hisa zake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…