Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo mkubwa si ujiite chura tu.Uongozi uweke wazi tu kuwa hawana Hela za usajili hizi tantarila zao wakawadanganye wake zao wapumbavu wakubwa hawa.
R.i.p Hans Pop tunakumiss sana kamanda wetu mpambanaji uliyejitoa Kwa jasho na damu kuipigania Simba
Uzuri ni kuwa watu wa Utopoloni huwa mna taarifa kibao za Unyamani.Taarifa za ndani kabisaa zinasema klabu ya Simba imesitisha mpango wa kuongeza wachezaji dilisha hili la usajili, Sababu zilizotolewa ni pamoja na kukosekana kwa wachezaji wazuri sokoni kipindi hiki cha katikati ya msimu.
Pia sababu zingine ni ugumu uliopo kwenye kuvunja mikataba ya wachezaji wa kigeni kwani idadi ya wachezaji 12 tayari imetimia kwaio ili timu iweze sajili mchezaji wa kigeni ni lazima iwavunjie mikataba hawa waliopo jambo ambalo uongozi umeona uachane nalo kwa sasa.
Simba nguvu moja[emoji881][emoji881]