Simba S.C ni underdog kwa Yanga S.C?

Simba S.C ni underdog kwa Yanga S.C?

Underdog yuko makundi caf..favorite yuko matopeni na wenzie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe umeshida?
Mimi sikuleta hii mada, aulizwe mleta mada, ambaye hakuwa underdog ameshinda? Kubet sio kitu rahisi rahisi, utapukutisha ada ya watoto. Mimi kuna namna ninayoitumia kubet, ambayo kwa wiki sikosi faida ya sh. 150,000/= baada ya kuondoa matumizi yote
 
Back
Top Bottom