Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Soma Pia: Juma Mgunda ameridhika kuwasaidia kufundisha Simba SC na kusahau kuwa ana 'profile' kubwa katika Ligi ya Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupata changamoto au fursa sehemu nyingine??Baada ya kuvutana kwa hapa na pale hatimaye aliyekuwa kocha wa Simba ameamua kuachana na club hiyo. Juma mgunda aliyekuwa kocha wa timu hiyo inayoshiriki ligi ya wanawake nchini, amefikia uamuzi huo ili kwenda kupata changamoto sehemu nyingine
View attachment 3090695
Makocha wa kibongo hakuna kituWanadanganyika na matokeo ya mechi za mapema hizi za Fadlu? Haya ngoja tuone Mgunda kama hajakumbukwa mwishoni mwa msimu kuokoa jahazi kama kawaida yao.
Huyo ataenda NamungoCoastal Union loading..
NamungoCoastal Union loading..