ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Asiende Tanga na mabegi mengi soon atahitajikaJanuary wanamleta tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asiende Tanga na mabegi mengi soon atahitajikaJanuary wanamleta tena.
Timu ya wakubwa au timu ya wanaume?Klabu ya Simba imeachana na Kocha Juma Ramadhani Mgunda ambaye alikuwa akiinoa Timu ya Wanawake ya Simba Queens huku mara kadhaa akipewa jukumu la kufundisha timu ya wakubwa ya klabu hiyo.
Mgunda kocha mzuri kwa ligi yetu, natamani apate timu nzuri kama KMC, DODOMAKlabu ya Simba imeachana na Kocha Juma Ramadhani Mgunda ambaye alikuwa akiinoa Timu ya Wanawake ya Simba Queens huku mara kadhaa akipewa jukumu la kufundisha timu ya wakubwa ya klabu hiyo.
Soma Pia: Juma Mgunda ameridhika kuwasaidia kufundisha Simba SC na kusahau kuwa ana 'profile' kubwa katika Ligi ya Tanzania
Yupo neshino timuAnkali arudi zake Kosto Yunioni tu
Uko yupo deiwakaYupo neshino timu