Simba S. C yaachana rasmi na Kocha Juma Mgunda

Kwa walioangalia performance ya Simba kule Ethiopia huku juma na benchi lake wakilia na baridi watakubali ilikuwa lazima afukuzwe
Mgunda uwezo wake ni kuikazia yanga TU kwenye Ile final kule Arusha nje ya hapo hakuna kocha pale
 
Wanadanganyika na matokeo ya mechi za mapema hizi za Fadlu? Haya ngoja tuone Mgunda kama hajakumbukwa mwishoni mwa msimu kuokoa jahazi kama kawaida yao.
 
Baada ya kuvutana kwa hapa na pale hatimaye aliyekuwa kocha wa Simba ameamua kuachana na club hiyo. Juma mgunda aliyekuwa kocha wa timu hiyo inayoshiriki ligi ya wanawake nchini, amefikia uamuzi huo ili kwenda kupata changamoto sehemu nyingine

 
Kupata changamoto au fursa sehemu nyingine??
 
Wanadanganyika na matokeo ya mechi za mapema hizi za Fadlu? Haya ngoja tuone Mgunda kama hajakumbukwa mwishoni mwa msimu kuokoa jahazi kama kawaida yao.
Makocha wa kibongo hakuna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…