Simba S.C yashusha kipigo kizito tena Leo.. Wapinzani kaeni Chonjo.

sembo
Hata kwenye boxing heavy weight kujipima na light weight haileti taswira sahihi. Nadhani utakubaliana nami. Tusubiri hiyo Simba week yenu tuone kipimo halisi.
 
sembo
Hata kwenye boxing heavy weight kujipima na light weight haileti taswira sahihi. Nadhani utakubaliana nami. Tusubiri hiyo Simba week yenu tuone kipimo halisi.
Sawa Mkuu.. Tarehe 08 si mbali.
 
Simba Day ni siku maalumu kwa Klabu kupiga mikwara dhidi ya timu za Ligi.... Lakini cha kushangaza huwa mnapoteaga kwenye jukwaa hili wiki 8 baada ya LigiKuu kuanza.
 
Simba Day ni siku maalumu kwa Klabu kupiga mikwara dhidi ya timu za Ligi.... Lakini cha kushangaza huwa mnapoteaga kwenye jukwaa hili wiki 8 baada ya LigiKuu kuanza.
unyonge sasa basi...
 
Simba Day ni siku maalumu kwa Klabu kupiga mikwara dhidi ya timu za Ligi.... Lakini cha kushangaza huwa mnapoteaga kwenye jukwaa hili wiki 8 baada ya LigiKuu kuanza.
Mkuu msimu huu tupo pamoja mwanzo mwisho.
 
Yanga wataisoma namba
Msimu huu unyonge mwiko.. Si Yanga pekee.. Kila tutakayekutana nae iwe katika mechi za "mchangani" au za "Kimataifa" kama ya 08.08.2016 pale Taifa Stadium ajiandae kuisoma namba tu.
 
Hahaha ha haaa..
kweli simba imechoka ila sikujua ni kiasi hiki,

yaani mnaifunga moro kids, alafu unakuja kuanzisha thread...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha ha haaa..
kweli simba imechoka ila sikujua ni kiasi hiki,

yaani mnaifunga moro kids, alafu unakuja kuanzisha thread...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu hii ilikua ni taarifa kwa Wanasimba wote Duniani juu ya maendeleo ya timu yao.
 
Wa mchangani katika ubora wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…