Simba Sc 0-0 Coastal Union | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

Japo kadi ni za halali ila kuna shida mahali.....

Hadi gemu ya Uto tutakua tumeshachanganya...
Labda mchanganye Zege na manavyo timuana, Yanga inaweza ikajikuta inacheza na mashabiki manake kila mkifungwa mnaamini mna hujumiwa na wachezaji pamoja na viongozi wenu.
 
Oya zimebaki ngapi huko?
Nipo safarini siti haikalikii.
 
Piiiiiiiga Uuuumbwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…