Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Sasa watapata goli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyekundu tayari bado tuta kupewa, Rose MhandoBado refa hajatutengea tuta mkuu. Tutakupa mrejesho
Hiyo ni halali haina shida maana lazima wawasaidie ili mshindeWale wa kulalamika hiyo card ni halali au siyo halali?
wamekuwa pinguin tenaHaya sasa fungeni sasa wamepewa red card,wamekuwa penguin
Hahahaaaa,tayariSimba tunaenda kuweka M-PESA kwa wakala.. Tulieni kadi na penalty tunapata ili tushinde.. Bila janja janja hatuwezi kitu.
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣wamekuwa pinguin tena
Yani sasa hivi Simba bila red card hakuna kupata goli? Kweli dunia inaenda kasi.Nyekundu tayari....
Kama kawaida yetu....
Siga ubhumumu.Makolo muli bwanji
Subirini na goli la penatiHaters semeni refa katubeba
ana card ya njano halafu anafanya upuuzi kama ule ,heri hata ingekuwa foul tunaweza kusema ameonewaSijawahi kuona mchezaji mpumbavu kama huyu wa Coast.
Ha ha ha ha yaani tayari, andaeni vigelegele tu hapa goli lipo dakika 10 hizi za mwisho, sisi simba bila janja janja hatuweziHahahaaaa,tayari