Simba Sc 0-0 Coastal Union | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

Simba Sc 0-0 Coastal Union | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

Coastal Union haijawahi kupata ushindi mbele ya Simba kwenye ligi kuu kwa misimu mitatu mfululizo iliyopita tangu msimu wa 2018/19. Katika mechi sita walizokutana, Simba imeshinda mechi tano na kutoka suluhu mechi tatu, Jumla Ya Magoli 21 Wagosi wa Kaya Wafungwa na simba katika Michezo hii 6 huku Simba Wakiruhusu magoli 2 katika michezo 6. Timu hizi hazijawahi kupata sare ya mabao. Leo wanakutana kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dares Salaam. Je, Coastal watafuta uteja?

Ni leo saa 1:00 usiku
Kwa simba hii, atafungwa na red arrows. Na kombe la nbc premier league watalisikia tu
 
Msimbebeshe lawama uyo jamaa wakati amefanya jambo lakheri katika maisha yake
Jambo la kheri hatupingi, ila linapokuja kua ni sababu ya kufanya vibaya kazini hatuwezi kulifumbia macho
 
Huyu capten coastal huo mpira aliopigwa kichwani lazima amejamba
 
Bwalya ni mtu sana akicheza namba 8... Kule 10 ni kumtwisha gunia la misumari.....
 
Back
Top Bottom