Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Refa mbona hajampa kadi? Refa naye ni furushiDilunga ni mzigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa mbona hajampa kadi? Refa naye ni furushiDilunga ni mzigo
hakuonaRefa mbona hajampa kadi? Refa naye ni furushi
Kwa simba hii, atafungwa na red arrows. Na kombe la nbc premier league watalisikia tuCoastal Union haijawahi kupata ushindi mbele ya Simba kwenye ligi kuu kwa misimu mitatu mfululizo iliyopita tangu msimu wa 2018/19. Katika mechi sita walizokutana, Simba imeshinda mechi tano na kutoka suluhu mechi tatu, Jumla Ya Magoli 21 Wagosi wa Kaya Wafungwa na simba katika Michezo hii 6 huku Simba Wakiruhusu magoli 2 katika michezo 6. Timu hizi hazijawahi kupata sare ya mabao. Leo wanakutana kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dares Salaam. Je, Coastal watafuta uteja?
Ni leo saa 1:00 usiku
Sopu anawakosa watu hapa 0-0Updates plz
Jambo la kheri hatupingi, ila linapokuja kua ni sababu ya kufanya vibaya kazini hatuwezi kulifumbia machoMsimbebeshe lawama uyo jamaa wakati amefanya jambo lakheri katika maisha yake
Sikweli anaogopa tuhakuona
tumeshawazoea kila mwaka hivo hivo mnaongea bingwa anajulikana mwishoniKwa simba hii, atafungwa na red arrows. Na kombe la nbc premier league watalisikia tu
Coastal unionHebu yataje matawi ya simba tujue mapema kabisa tukichukua ubingwa msilielie.
Una umri gani wewe?Huyu capten coastal huo mpira aliopigwa kichwani lazima amejamba
Hapa naangalia na panadol zipo pembeni...
Jikaze uangalie....
Em Ngoja Tuone Msimu Huu Huo Ubingwa Mtakaochukua [emoji23][emoji23]tumeshawazoea kila mwaka hivo hivo mnaongea bingwa anajulikana mwishoni