Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama kuuzwa ilitokana na Mo kwenda kufokafoka kwenye account ya Chama ya Instagram!Kutokuelewana kulianzia hapo,akamuuza kwa hasira!Kuuza wachezaji ni moja ya mapato ya klabu... Vilabu vikubwa duniani wanauza wachezaji wao....
Tatizo la Simba haikuleta mrithi/mbadala ya waliondoka.... Timu ni kama inaanza upya....
Dk ya ngapi huko?Simba imeanza kwa kasi sana..... Tupeni raha...
52...Dk ya ngapi huko?
Kona zote hakuna goli....SSC Kona 10 Coastal 0
Bangala mtu sanaKabisa yule mwamba mtu, watu wanamuimba Aucho ila Bangala anamrahisishia kazi sana
Msimbebeshe lawama uyo jamaa wakati amefanya jambo lakheri katika maisha yakeZimbwe ulishauriwa na nani kufunga ndoa kipindi ambacho simba inakubitaji?
Subir mpaka refa atubebe tupate goli ndo tutapata nguvu ya kuleta updatesUpdates plz
Kwa jana kama mi ndo refa katika yale mazingira ningefanya kutegemea na mpunga ambao yanga imeniahidiUnaweza toa penati ya vile ungekuwa wewe refa ama ile penati ya morison unaweza funika kweli kama si mahaba