kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Kibu ule mguu wake wa kulia una kitu
Una kucha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibu ule mguu wake wa kulia una kitu
Mkuu linapigwa pira gani hapo?😂😂😂😂Kwa Anaye Sikiliza mpira Ajue Kuwa TUNABEBWA NA MTANGAZAJI, kwa Anaye Angalia Mpira Ajue kuwa Baraka Mpenja Anacheza Vizuri kwa Mdomo Kuliko Wachezaji Wote wa Simba.
Gomez ameonewa Tuu
Key players wao wawili wa kati wana njano tayari.Kama wakipata red card hao coastal union mnaweza kushinda hii game
Hata hivyo ni swala la muda
Mkuu linapigwa pira gani hapo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
misukosuko ndo mwendo wa ngalawaMsimu mgumu huu
Hahahaha hii timu inachekesha sanaSimba inapata kona ya kwanza, goal kick dilunga kapaisha
Majeruhi... Haikua mipango ya kocha...Double substitution 1st half ... dah
Mzamiru alimpasia kipa wa costal, nilimtusi tusi kubwa sana ashukuru hajaskiaSasa ni?
Manula
Kapombe Onyango Henonga M.Hussein
Bwalya. Mkude
HD. Morrison. Kibu
Bocco.
Yamekua haya mkuu [emoji1787]Naye refa anapuliza filimbi kwa fujo, anawastua wachezaji
Lakini ndo hivyo hivyo mpaka tunachukua kombeHahahaha hii timu inachekesha sana
Bora angepewa Bangala tu🤣Huyu jamaa tuliwahi sana kumpa uraia
Labda kwa penati, ila kwa soka mna uwezo mdg mnoLakini ndo hivyo hivyo mpaka tunachukua kombe
Ni kweli. But ngoja tuoneHii biashara angekua Juma Mgunda ingeisha mapema Sana. Mzungu anaweza kuwa mbishi kidogo.....
But all in all leo na tawi lao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au kashaanza kuzidiwa keteKatakua kana stress za ndoa, si kameoa juzi kati tu hapo?