Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuza wachezaji ni moja ya mapato ya klabu... Vilabu vikubwa duniani wanauza wachezaji wao....Moo pumbav kabisa,anaanzisha ugomvi na wachezaji Kisha anawauza kwa hasira!
Na hicho kidemu chake ki CEO,kilikuwa Morocco kula bata eti ndio kimetuletea wachezaji wa hivi!!!!!!Shwain,inaniuma kweli!
Sasa kwani penalty haiji baada ya uwezo?Labda kwa penati, ila kwa soka mna uwezo mdg mno
Hakuna penati pale mdg wangu sema mahaba ya refa tuSasa kwani penalty haiji baada ya uwezo?
Mtu uki kwenye penalty box unataka ku shoot ufunge mpinzani anakuja kuunawa afu useme sio kiwango kilicho pelekea penalty kutokea?
Hahahaha kama hapo ndo bora basi hakuna timu jamaa kupiga shuti moja nje kawa bora tena mbele ya beki line mbovukibu denis kawa bora kwenye mchezo wa leo
Mjitahidi mchukue hata nafasi ya 3Sema dirisha dogo tusizembee
Sema dirisha dogo tusizembee
Mi nilikua nakuelekeza mazingira ya penalty ambayo yanaweza kujitokeza baada ya timu kuzidiwa, nilikua nakupinga kua sio kila penalty ina tafsiri ya timu kubebwa na mwamuziHakuna penati pale mdg wangu sema mahaba ya refa tu
Kabisa yule mwamba mtu, watu wanamuimba Aucho ila Bangala anamrahisishia kazi sanaBora angepewa Bangala tu🤣
Tukianza kushinda msilalamikeMjitahidi mchukue hata nafasi ya 3
Unaweza toa penati ya vile ungekuwa wewe refa ama ile penati ya morison unaweza funika kweli kama si mahabaMi nilikua nakuelekeza mazingira ya penalty ambayo yanaweza kujitokeza baada ya timu kuzidiwa, nilikua nakupinga kua sio kila penalty ina tafsiri ya timu kubebwa na mwamuzi
Ila ile aliyopeta jana kwenye mechi ya azam ilikua clearly kabisa
Yap kwa africa lazima tupambane tuwe top three, na sio top three tu ikiwezekana hata kuwa on top kabisaMjitahidi mchukue hata nafasi ya 3
Ngapi ngapi?2nd Half...
Here We Go...
0-0Ngapi ngapi?