Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Yanga lazima afeHapa kuna goli moja tu, siamini kama mechi itaisha droo
Forta unakuwaga na mdomo mbaya ukisema yanatokea [emoji119]Hapa kuna goli moja tu, siamini kama mechi itaisha droo
Yamekua hayo si mlisema mtafunga matano?Hahahaha hata yanga tukipigwa tumeonesha soka safi mno
Kwani kipindi chakwanza alikua wa moto?Mayele kipindi cha 2 kapoa sana
Yanga anashindaHapa kuna goli moja tu, siamini kama mechi itaisha droo
Ile Kadi ya njano onyango kapata kwa sababu ya naniKwani kipindi chakwanza alikua wa moto?
Huyu mayele niliwaambia watu mwanzoni kabla hata ya derby kua ni mbovu bora mngebadilishana na jogoo
Anamthibitishia boss kwamba pesa uliyotoa kwenye usajili ulipigwaInonga anamfanya Ntibanzokinza aonekane kama mchezaji wa ndondo
Amekua mapeleKwani kipindi chakwanza alikua wa moto?
Huyu mayele niliwaambia watu mwanzoni kabla hata ya derby kua ni mbovu bora mngebadilishana na jogoo
Wakat hapo beki wako Ana Kadi ya njano baada ya kupigwa tobo na huyo huyo mapeleAmekua mapele