Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Ebana,game imemkataaWamekusikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebana,game imemkataaWamekusikia
Hivi kocha wa simba haoni kuna umuhimu wakumpunguza kibu denis.Au anasubiri afungwe ndo apate kiwewe cha sub.
Mpaka sasa mwanaume wa mechi anajulikanaKitajulikana anayeoa leo ni nani
Sahihi, maana kamshika waziwaziKibwana alistahili kadi ya njano, refa wa mchongo
Hahahaha hata yanga tukipigwa tumeonesha soka safi mnoPablo Kweli Ulikuwa Madrid Hata Tukifungwa Wewe Ni FUNDI
Sio leo huyu mwamba ni fundi mnooooNtibazonkiza leo yupo vizuri sana
Hahaaaa si mlisema mnajipigia 5Hahahaha hata yanga tukipigwa tumeonesha soka safi mno
Mahaba ya refa pia yanachangiaHahaaaa si mlisema mnajipigia 5
Hahahaha bahati yenu dadeqYanga hawaamini walijua watatuchakaza kama walivyozoe vitimu uchwara uchwara cha moto mmekiona