Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Moloko leo kapigwa pini na Zimbwe Jr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba 50% vs 53% YangaNaona kama Msimbazi tumezidiwa vile au presha zangu?
Mbona ukijumlisha inakuja 103% ? 😁Simba 50% vs 53% Yanga
hamna mgawanyo huo.Simba 50% vs 53% Yanga
...au kama Simba ni 50% lazima Yanga iwe 50%hamna mgawanyo huo.
kama yanga ni 53% basi simba lazma iwe 47%
Akiwa na maana ya 40 kwa 60Mbona ukijumlisha inakuja 103% ? [emoji16]
Ya Leo Leo Hiyo MkuuMbona ukijumlisha inakuja 103% ? 😁
Mpira wa hesabu sanaInonga anamfanya Ntibanzokinza aonekane kama mchezaji wa ndondo
Simba Watupe RahaInonga anamfanya Ntibanzokinza aonekane kama mchezaji wa ndondo
HaaYanga kushinda ni Kama Humphrey polepole kurudishiwa cheo cha uenezi chini ya Mama Samia
Wanaweza kupata goliHaa
Yaani GSM Amebanwa Hata Raha Hana
Ukiona hivyo mechi ni ngumuNguvu nyingi sana leo