Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Watu kama hawa hata sihangaikagi nao, wengine hata mpira wenyewe hawajawahi kucheza kama mdomo mwingi tu.Watu wanaishi kwa kukariri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kama hawa hata sihangaikagi nao, wengine hata mpira wenyewe hawajawahi kucheza kama mdomo mwingi tu.Watu wanaishi kwa kukariri
Kwahiyo Leo Huyu Tunampiga Ngapi Na Straika Hawa Wazee?Hawa wazito achana na wale mabishoo wa dar
Ni tukubali tu Pablo sio mshindani,Daah ila kwa kikosi hiki ni kama wamedharau mechi
Tutafanyaje na ndo timu yetu tumeipenda hatuna namna ya kuacha kuishangilia
Inamaa amesajiliwa kwaajili ya dribbling, mpira wa kisasa unatakiwa uutume sio umukutumikishe. Mpira una u command Kama Dickson Job.Inonga anawazidi akina Moloko kwenye dribbling
Unakuaga mnafiki weweNilisema mchezo wa leo bocco lazima awe bora
Hiyo bila shaka ni silaha ya maangamizi iliyofichwa♨️☢️Kwanini chama kaanzia benchi? Anaumwa? Au ni hujuma za benchi la ufundi?
We ndo huelewi hata kinqchoendeleaNi tukubali tu Pablo sio mshindani,
Usikariri ndugu yangu, kila mechi ina mahitaji yake...huo ndo mpira wa miguu.Kwanini chama kaanzia benchi? Anaumwa? Au ni hujuma za benchi la ufundi?
Duh, Mugalu tena... MhKipindi cha pili Bocco apumzike aingie Chama au Mugalu kwajili ya mipira mirefu
Kiaje?Unakuaga mnafiki wewe
Muda Bado...Leo hakuna mgao wa penati, refa atakuwa kajisahau
Ana assist ngapi?Inonga anawazidi akina Moloko kwenye dribbling
Hii ndio kero ambayo siipendiwafanye mabadiliko kabisa wanavyoingia second half, sio kusubiri dk ya 80.