Al Watani JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 21,237 Reaction score 31,811 Nov 4, 2021 #541 Denis Alphonce said: Duncan ni mzuri sana inabidi achezeshwe Click to expand... Timu ya taifa ya Malawi Duncan huwa anacheza kama huwa anacheza kwenye midfield 3 upande wa kushoto. Sijajua kwa nini sisi tuna prefer kumtumia kama winger ya kulia.
Denis Alphonce said: Duncan ni mzuri sana inabidi achezeshwe Click to expand... Timu ya taifa ya Malawi Duncan huwa anacheza kama huwa anacheza kwenye midfield 3 upande wa kushoto. Sijajua kwa nini sisi tuna prefer kumtumia kama winger ya kulia.
zipompa JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 11,432 Reaction score 24,596 Nov 4, 2021 #542 Wasiwasi lazima kama huu mchezo utaendelea lazima utakuja Leta shida baadae Lupweko said: Lakini si mnaongoza ligi, wasiwasi wa nini? ππ Click to expand...
Wasiwasi lazima kama huu mchezo utaendelea lazima utakuja Leta shida baadae Lupweko said: Lakini si mnaongoza ligi, wasiwasi wa nini? ππ Click to expand...
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Nov 6, 2021 #543 zipompa said: Wasiwasi lazima kama huu mchezo utaendelea lazima utakuja Leta shida baadae Click to expand... kwnai baadae hamtakuwa mnaongoza ligi? π
zipompa said: Wasiwasi lazima kama huu mchezo utaendelea lazima utakuja Leta shida baadae Click to expand... kwnai baadae hamtakuwa mnaongoza ligi? π
zipompa JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 11,432 Reaction score 24,596 Nov 6, 2021 #544 Lupweko said: kwnai baadae hamtakuwa mnaongoza ligi? π Click to expand... Tunaachaje