Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simba hakati tamaa. Yani pale alikua ameshajipanga liwalooo na liweeeKagere has a Lion spirit
Hili li shoga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi kama mshabiki wa simba natoa rai mapema kwa uongozi wa simba ipige marufuku usambazaji wa clip ya video inayoonesha goli la jana lililofungwa na kagere
Kwasababu kuna hatihati ya kumpoteza mchezaji huyu, nimesikia mauricio pochetino amesikia hizi taarifa na anatumia nguvu kubwa kutafuta hiyo clip na amedai yuko tayari kumsajili mchezaji huyo ambaye inadaiwa ataziba pengo la mbape ambaye anataraijia kuachana na timu hiyo
Matola sulemani aamshe pale wale walaji walaji wote wanatakiwa waondoke tuhame kwenye utamaduni wa wachezaji kuhonga makocha Ili wapangwe ningefurahi kuona hakuna mtu mweusi ktk bench la ufundi SimbaWakubwa wenzangu wa Simba vita kubwa sana hii msimu huu na ukizingatia ma hela ya Bakharesa na Sport Pesa nasema hivi hata kama goli la mbeleko goli la kadi ama goli la niniii
Hapa Sifa point 3
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wote yeye na kagere wamechoka atleast huyu mugalu acheze na Boko mbele pale panaelewekaInatakiwa aanzie benchi awe anaingia dk ya 75-80
NdioMugalu ni majeruhi?
Hata chama ni slow player nadhani soka la waarabu litamshindaMi naona Yuko slow sana
Mm hapo tu Simba wananichefua roho ila yule chikwende angeisaidia sana Simba Kwa aina hii ya mpira tunaochezaTatizo lake Ajibu ni moja tu,
anakata pumzi mapema
Angejifua angetisha sana
Kagere katuokoa na aibu Ile ila sio chaguo langu as no 9Simba hakati tamaa. Yani pale alikua ameshajipanga liwalooo na liweee
Chama falsafa yetu ya mpira ilikuwa inamfaa sana kwa sababu anacheza taratibu na sisi tunacheza taratibu kwa pasi.Hata chama ni slow player nadhani soka la waarabu litamshinda